MAANA YA TUNGO

Tungo ni nini?
Tungo ni maneno yaliyopangwa pamoja na yenye kuleta maana. Au, Tungo ni neno au  maneno yanayotoa taarifa fulani ambayo inaweza kuwa kamili au isiwe kamili.
Mfano;
·         Mtoto mweupe ameanguka  (Taarifa kamili).
·         Mbuzi aliyeibiwa jana …   (Taarifa isiyo kamili).
Neno “tungo” ni nomino ambayo inatokana na kitenzi “tunga” ambacho kinamaana ya kushikanisha vitu kwa kupitia kitu.

No comments:

Post a Comment

<marquee>YALIYOMO</marquee>

MAANA YA TUNGO AINA ZA TUNGO TUNGO NENO TUNGO KIRAI TUNGO KISHAZI SENTENSI