TUNGO NENO

Tungo neno:

Tungo neno ni aina ya tungo ambayo huundwa kwa vipashio vidogo zaidi ya neno ambayo ni mofimu au fonimu. Au, Tungo neno ni silabi moja au zaidi zenye kuota maana inayoeleweka. Ili kupata kupata tungo neno katika lugha ya Kiswahili hatuna budi kufuata taratibu mbili muhimu;

a)      Mpangilio wa vitamkwa

b)      Mpangilio wa mofimu

Mfano wa tungo neno ni Baba, kaka, mwalimu, gari n.k.

No comments:

Post a Comment

<marquee>YALIYOMO</marquee>

MAANA YA TUNGO AINA ZA TUNGO TUNGO NENO TUNGO KIRAI TUNGO KISHAZI SENTENSI